Job 22:6-9


6 aUmedai dhamana kwa ndugu zako bila sababu;
umewavua watu nguo zao, ukawaacha uchi.

7 bHukumpa maji aliyechoka,
nawe ulimnyima chakula mwenye njaa,

8 cingawa ulikuwa mtu mwenye uwezo ukimiliki nchi:
mtu uliyeheshimiwa, ukiishi ndani yake.

9 dUmewafukuza wajane mikono mitupu
na kuzivunja nguvu za yatima.
Copyright information for SwhKC